BREAKING NEWS. KESI YA MADIWANI MERU YAFUTWA

Kutoka Mahakama Kuu Arusha, atimaye Kesi iliyokuwa inawakabili Madiwani wa Meru na Mbunge wao Joshua Nassari kwa uharibifu wa Mali Imefutwa Muda Huu.
Hivyo wote wapo huru.



Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari akiongea na waandishi wa Habari baada ya Kesi iliyokuwa ikiwakabili kufutwa katika Mahakama Kuu Arusha  


No comments: