MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA KILIMANJARO MH GRACE KIWELU AZINDUA MSINGI

Mjumbe wa Kamati kuu,Mwenyekiti wa ‪#‎BAWACHA‬ Mkoa wa Kilimanjaro na Mbunge wa viti maalum Mh Grace Kiwelu amefanya uzinduzi wa misingi katika kata ya Marangu Mashariki kama muendelezo wa program ya Kanda "Tukutane kwenye misingi" katika jimbo la Vunjo....BAWACHA tukutane kwenye misingi
Msingi uliozinduliwa na Mh Grace Kiwelu

Mh Grace akipandisha Bendera kuashiria ufunguzi rasmi wa Msingi huo

No comments: