UZINDUZI WA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA - IRINGA VIJIJINI

Wanachi wa Kata ya Kalenga walio hudhuria kwenye mkutano wa ufunguzi,wa kampeni za Ubunge katika Jimbo la Kalenga -Iringa Mjini

Chief wa Wahehe akisalimia wananchi katika mkutano wa adhara

Ndugu Benson Kigaila akisema neno la Ufunguzi wa Kampeni za ubunge

Katibu Mkuu wa Chadema Dir Wilbroad Slaa akifungua rasmi Kampeni za Ubunge Kalenga

Silaa za  Ushindi

Katibu Mkuu wa Chadema Dir Wilbroad Slaa akifungua rasmi Kampeni za Ubunge Kaleng


Mbunge mtarajiwa Bi Grace Mvanda Tendega akinadi sera zake kwa wananchi




Katibu Mkuu wa Chadema Dir Wilbroad Slaa akimnadi Bi Grace Mvanda Tendega kwa wananchi wa Kalenga

Nguvu ya Umma

Katibu Mkuu wa Chadema Dir Wilbroad Slaa akiwa ameongozana na Mgombea Ubunge Kupitia CHADEMA Bi Grace Mvanda Tendega,baada ya kumalizika kwa mkutano

Huu Ndio Msafara wa kumsindikiza Bi Grace Mvanda Tendega kutoka Kata ya Kalenga Kurudi Iringa Mjini

Bi Grace Mvanda Tendega kwenye gari katika msafara kutoka Kata ya Kalenga Kurudi Iringa Mjini

No comments: